• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Ukaguzi wa ndani

MALENGO

Kupitia  uhalali na usahihi wa taarifa za Fedha na utendaji wake,na namna taarifa    hizo zilivyopatikana;

a) Kupitia na kutoa taarifa juu ya udhibiti wa makusanyo utunzaji na matumizi ya rasilimali fedha za Halmashauri.

b)   Kupitia na kutoa taarifa juu ya kufuatwa kwa taratibu za fedha zilizowekwa, sheria maagizo na taratibu za kihasibu zinazotolewa na Waziri katika nyakati mbalimbali ili kuwepo kwa matumizi mazuri ya fedha.

c) Kupitia na kutoa taarifa juu ya usahihi wa mpangilio na mgawanyo wa mapato na matumizi ya akaunti.

d) Kupitia na kutoa taarifa juu ya usahihi na uaminifu wa takwimu za fedha zilizotumika katika kuandaa taarifa za fedha na taarifa nyingine.

e) Kupitia na kutoa taarifa juu ya mifumo iliyopo inayotumika kutunza mali.

Mkaguzi wa ndani anapaswa kuhakiki na kutathmini taarifa za mwisho za  Fedha ,kupima mfumo wa udhibiti wa Fedha ufanisi wake katika Fedha za umma kama ilivyoainishwa katika muongozo wa taaluma wa kimataifa(IPPF) ,fungu namba 2130 la ukaguzi wa ndani kwa kupitia yafuatayo:

a) Mfumo wa udhibiti wa ndani.

b) Uwasilishwaji wa taarifa zote za Fedha

c) Utoaji wa taarifa za Fedha unakidhi misingi ya uhasibu

d) Uthibitisho wa rasimali na madeni ya halmashauri unaambatana na ushaidi wa nyaraka.

e) Rasilimali,madeni,mapato na matumizi yanawasishwa kwa ushihi kwenye taarifa za Fedha

f) Rasilimali na madeni yaliyoripotiwa yanamilikiwa na halmashauri

g) Ukamilifu wa taarifa za Fedha za halmashauri wa kipindi husika

h) Usahihi wa upimaji na tathmini ya taarifa za rasilimali,madeni,mapato na matumizi

i) Uhakiki wa nyaraka za Fedha.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA MPIMBWE YAHITIMISHA ZIARA YA MAFUNZO MBARALI

    June 21, 2025
  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa