• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

BARAZA LA MADIWANI LAMTAKA MHADISI KUTEKELEZA MIRADI YA BARABARA KWA WAKATI MPIMBWE.

Posted on: October 27th, 2022

Wakichangia taarifa ya utekelezaji wa ujenzi barabara iliyowasilishwa na meneja wa TARURA Mhandisi Maneno Makorongo juu ya ukarabati wa barabara za halmashauri hiyo katika kikao cha baraza la madiwani kilicho fanyika tarehe 27/10/2022 katika ukumbi wa halmashauri hiyo madiwani wameelezea kusikitishwa kuona barabara zinashindwa kukamilika kwa wakati ikiwa madiwani hao wamefanya juhudi kubwa ya kuwahamasisha wananchi kushiriki ujenzi huo kikamilifu.

Awali, akitoa ufafanuzi katika kikao cha baraza la madiwani leo meneja wa TARURA Mhandisi Makorongo amesema tatizo la kuchelewa kukamilika kwa ujenzi wa miundombinu ya  barabara hizo imesababishwa na changamoto ya uhaba wa wakandarasi jambo ambalo limepingwa na mwenyeketi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Mhe. Sailas Irumba.

"Nchi hii ina wakandarasi wengi tunataka wananchi wetu waweze kuneemeka na pesa anayoitoa Mhe. Rais kwenye TARURA" Amesema Mhe. Sailas Irumba Mwenyekiti wa halmashauri ya Mpimbwe.

Wakitoa ushauri kikaoni hapo, baadhi ya madiwani wamemshauri mhadisi kuwa afanye ukaguzi wa vifaa vya wakandarasi wake kabla ya vifaa hivyo kuanza kufanya kazi ili kuondoa usumbufu wa kukwama kwa zoezi la ujenzi kwa muda uliopangwa.

Mara baada ya mwenyekiti kutoa ufafanuzi wa kina juu ya changamoto wanazozipata wanachi katika maeneo ya miradi hiyo ya barabara, meneja wa TARURA Wilaya ya Mlele ameahidi kikaoni hapo kuwa atazingatia ushauri uliotolewa na waheshimiwa madiwani hao na kuufanyia kazi.

MWISHO.

*Imetolewa na.*Kitengo cha mawasiliano Serikalini.*Halmashauri ya Mpimbwe*

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa