• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

DC SANGA AMEKEMEA TABIA YA WAKULIMA KUTOWEKA AKIBA YA CHAKULA .

Posted on: November 8th, 2022

Akizungumza na Wananchi  wakati wa uzinduzi wa msimu  wa kilimo  2022/2023 uliofanyika kata ya Usevya Halmashuri ya Wilaya ya Mpimbwe Mkoa wa Katavi, Mkuu wa Wilaya ya Mlele  amekemea swala la wakulima kutoweka akiba ya chakula kwa kuuza mazao yote.

Mhe. Filbarto Sanga amesema kila Mkulima anapaswa kuweka akiba ya mazao yake yatakayo  muwezesha  kumfikisha katika msimu mwingine wa kilimo ilikuweza kuepukana na maswala ya njaa katika  familia  , kutokana na  kuwepo kwa mabadiliko ya tabia nchi  yanayoweza kusababisha  mvua kuwa chache , na kutopata mazao kwa wingi  .

Amesema baadhi ya wakulima wamekuwa wakipata tamaa ya kuuza  mazao yao yote waliolima  na kuanza kulalamika njaa na kuhitaji serikali iwape  msaada swala ambalo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe halitakiwi kusikika kwa kuwa Ardhi ya Mpimbwe ina rutuba na inafaa kwa kilimo.

“Niaibu kwetu kusikia familia inasema sisi tunanjaa wakati tunajua mwenye familia ile nimkulima alilima na chakula kilikuwepo kwenye hilo ajiandae kupelekwa mahakamani , haiwezekani umeshindwa kusimamia familia yakwako wewe mwenyewe shamba unalo umelima umevuna , umeingia tamaa ya kuuza  bila utaratibu nabado wataka Sereikali ikusaidie haiwezekani” alisema

Mhe.Sanga  amewashauri wakulima kutumia mbegu za kisasa ambazo zitachukua muda mfupi shambani  na zitakazoweza kutoa mavuno mengi Zaidi.

Aidha amesema  swala la wakulima kulima na kukata Miti katika maeneo ya vyanzo vya maji vimekuwa vikwazo vikubwa ambavyo vinasababisha kukosekana kwa maji katika meneo mbali mbali .

Awali akizungumza  Mkurungenzi Mtendaji Halmashauri ya Mpimbwe Bi. Catherine Mashalla amesema  Halmashauri hiyo ni Halmashauri amabayo inategemea mapato kutokana na uzalishaji katika kilimo hivyo amewataka wananchi  kulima mazao ambayo yatawaletea tija   Zaidi katika familia na katika Serikali .

Mwisho.

Imetolewena;

Kitengo cha mawasiliano Serikalini.

Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI AJIRA ZA MUDA ZA SENSA TAREHE 19 JULAI 2022 July 17, 2022
  • Kuitwa kwenye Mafunzo ya Mfumo wa Anwani za Makazi NAPA March 28, 2022
  • WALIOFAULU USAILI WA SENSA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • WALIOFAULU USAILI WA SENSA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • RAS Katavi aongoza upandaji miti katika Halmashauri ya Wilaya Ya Mpimbwe ikiwa ni uzinduzi wa Kampeni ya Upandaji Miti kimkoa.

    January 24, 2023
  • ASILIMIA 80 YA WAKAZI WA MPIMBWE WANATEGEMEA KILIMO

    January 23, 2023
  • AGIZO LA WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA LATEKELEZWA KWA WAKATI MPIMBWE

    December 29, 2022
  • WANANCHI WA MAJIMOTO WANUFAIKA NA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MPIMBWE

    December 27, 2022
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa