• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Halmashuri ya Wilaya ya Mpimbwe yaibuka kinara kwa kukamilisha Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa

Posted on: December 10th, 2021

Na  Odetha  salum.

Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe yaibuka kinara baada yakuchukua nafasi ya Kwanza kumaliza Ujenzi Wa Madarasa yatokanayo na Fedha zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mh.Samia Suluhu Hassan.

Kati ya Halmashari Tano ambazo ni Halmshauri ya Nsimbo,  Halmashauri ya Mlele, Halmashauri ya Tanganyika, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda, na Halmashauri ya Mpimbwe, ambazo  zilitakiwa kufikia tarehe 9 Disemba 2021 ziwe zimekamilsha Vyumba vya Madarasa kutokana na taratibu zilizopangwa kimkoa.

Akizungumza mgeni rasmi katika makabidhiano ya Miradi ya Ujenzi wa Madarasa,Mkuu wa Mkoa  wa Katavi Mh.Mwanamvua Mrindoko  amesema Kimkoa ilipangwa kufikia tarehe 9  Disemba 2021 madarasa    yote yawe yamekamilika lakini mpaka sasa Halmashauri ya Mpimbwe ndiyo Pekee iliyoweza kukamilisha Kwa wakati jambo linaloonesha ushikamano na hali yali yauchapaji kazi katika Halmashauri ya Mpimbwe 

Aidha amezitaka Halmashauri zote kufika tarehe 15 Disemba 2021 ziwezimekamilisha Ujenzi wa Madarasa pamoja na Madawati na viti na meza ilikuweza kukabidhi Kitaifa.

Sanjari na hayo amewataka wananchi wote kulima Mazao yanayo stahimili ukame na kutumia Mbegu zinazo komaa mapema kutokana na Mkoa Wetu kupata Mvua za wastani na zilizo chini ya wastani.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa