• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

KAMATI YA UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MKOA WAKATAVI YAKAGUA VYUMBA VYA MADARASA 23 HALMASHAURI YA MPIMBWE WILAYA YA MLELE.

Posted on: November 10th, 2022

Kamati ya imesisitiza ujenzi wa vyumba 23 vya madarasa uzingatie viwango stahiki vilivyoelekezwa na serikali na ukamilike December07,2022

Kamati ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo mkoa wa Katavi imefanikiwa kukagua ujenzi wa vyumba vya madarasa 23 katika Halmashauriya Mpimbwe wilaya ya Mlele leo tarehe10.11.2022.

Kamati hiyo imekuja ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa majukumu yake ikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo teule Ndg.Ngeshere Serubu kutoka mkoa wa Katavi,Ndg.Philipo Charles katibu wa kamati hiyo ambaye ni mhandisi kutoka Mkoa wa Katavi Pamoja na wajumbe walio ambatana nao ambao ni Afisa Mipango Mkoa  Wilson Kenedy,Siza Nassoro kutoka ofisi ya manunuzi Mkoa ambapo wameelezea kuwa miradi hiyo inaendelea vizuri na wamesisitiza viongozi ndani ya wilaya hiyo kuendelea kuisimamia vizuri ili ifikapo 07.12.2022 iwe imekamilika.

Kamati hiyo imefanikiwa kutembelea MIradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 13 shule ya Sekondari Majimoto,ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari Mamba,vyumba vya Madarasa 2 shule ya sekondari Usevya,ujenzi wa darasa1 shule ya sekondari kasansa na ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa  shule ya sekondari Chamalendi.

Katibu wa kamati hiyo ambaye ni Mhandisi Philipo Charles kutoka Mkoani  ameagiza ujenzi huo usimamiwe kikamilifu na watendaji ndani ya Halmashauri hiyo ikiwa ni Pamoja na kusimamia kila hatua ya ujenzi huo ili kuepusha matumizi mabaya ya fedha hizo.

 Ikumbukwe kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe ilipokea kiasi cha shilingi milioni 460,000,000 kutoka Serikali kuu kwaajiliya ujenzi wa vyumba vya madarasa 23 katika Halmashauri hiyo.

 Mhandisi Emmanuel Mugenyi ameelezea kuwa maelekezo ya kamati hiyo wameyapokea na kuahidi kuyasimamia kikamilifu.

"Tunashukuru sana kwa kututembelea kamati hii na maelekezo yote tumeyapokea na tunaahidi kuyafanyia kazi kikamilifu,miradi yote itaka milika mapema kabla ya tarehe ya mwisho, Halmashauri ya Mpimbwe tumejipanga kikamilifu kuhakikisha kila shilingi inatumika kama ilivyoelekezwa na viongozi wa wizara ili kukidhi malengo ya Serika li kuhakikisha ujenzi huu unakwenda kuwasaidia wananchi na wanafunzi chini ya uongozi madhubuti wa awamu ya sita wa Mhe  Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania." Amesema Mhandisi Mugenyi.

Imetolewana. Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini.

Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa