• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

MAADHIMISHO YA SIKU YA MWANAMKE ANAYEISHI KIJJINI

Posted on: October 22nd, 2023

Sikukuu hii huadhimishwa kila ifikapo tarehe 15 Mwezi 10 kila mwaka ambapo   yamefanyika katika Kijiji cha Kabunde Kata ya Mamba Halmashauri ya Mpimbwe.

Maadhimisho haya yenye Kauli mbiu inayosema WEZESHA WANAWAKE WANAOISHI KIJIJINI KWA UHAKIKA WA CHAKULA, LISHE NA UENDELEVU WA FAMILIA yanalengo la  kutambua jitihada ya Mwanamke anaye ishi kijijini, kuongeza mwitikio wawanawake kushiriki katika Uchumi, upangaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao, kujenga uelewa wa fursa za kiuwezeshaji wanawake katika uchumi na namna bora yakukabiliana na umaskini wa kipato na upatikanaji wa chakula katika kaya.

Akizungumza  Mgeni rasmi katika Maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Mlele  Mhe. Majid Mwanga  amesema Serikali imejitahidi katika kuboresha Miundombinu ambayo mhanga mkubwa ni Mwanamke anayeishi kijijini hivyo Serikali  imeleta huduma  mbalimbali vijijini ikiwemo huduma za Umeme, Maji , Barabara Vituo vya Afya na Zahanati pamoja na huduma nyingi zitakazo msaidia mwanamke anayeishi kijijini kujikwamua kiuchumi na kuleta ustawi katika Jamii.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mpimbwe Bi. Shamim Mwariko amesema Mwanamke ninguzo kubwa katika familia hivyo anapaswa kuhakikisha familia inakuwa na chakula chakutosha ilikuweza kuepusha njaa katika familia  , uhifadhi mzuri wa Mazao yanayo patikana  uwezekuzingatiwa ilikuweza kuepuka kuharibika kwa Mazao na kuhakikisha uwepo wa chakula bora.

Estar Sabato ni Afisa Lishe katika Halmashauri ya Mpimbwe naye amesema ili kuweza kupata watoto wenye afya njema na wenye akili lazima Mama mjamzito ahakikishe anapata  chakula bora  wakati wa ujauzito na pia ahakikishe anakwenda Kliniki mala tu anapogudua kuwa ni mjamzito.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa