• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

MAJENGO YATUMIKE KUTATUA MIGOGORO YA WANANCHI NASIYO KUPOKEA RUSHWA NA KUFANYIA UFISADI

Posted on: July 22nd, 2022

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Isdor Mpango amesema watumishi wa Umma wanapaswa kutumia majengo kwakutatua changamoto za wananchi kwakuzingatia sheria na taratibu za umma nasiyo kutumia kupokea rushwa na ufisadi.

Makamu wa Rais amesema hayo leo Tarehe 22. Julai 2022 wakati akizindua Jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe ambalo limegharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 2.9 amesema fedha zinazo tolewa na serikali zifanye kazi kwa uadilifu mkubwa.amesema imefika wakati wa watumishi kuacha kufanya kazi kwa mazoea na badala yake wanapaswa kufaya kazi kwa upendo mkubwa.

Aidha ameagiza wizara ya maji  kuhakisha suala la changamoto la maji Usevya linakamilika kufikia Novemba mwaka huu kwa kutumia mradi unao toka majimoto mpaka usevya.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Kavuu ambaye pia ni Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Mh. Geofrey Pinda amiomba  serikali kuanzisha wilaya ya kipolisi katika Halmashauri ya Mpimbwe Pamoja na uwepo wa Gereza ili Wananchi wapate huduma kwa urahisi

Naye Mkuu wa Mkoa wa Katavi Bi. Mwanamvua mrindoko ameishukuru serikali kwa kutoa fedha nyingi kwa ajiliya ujenzi wa majengo saba ya utawala katika Mkoa wa Katavi yatakayo saidiwa kutoa huduma na kufanyakazi kwa Watumishi.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI AJIRA ZA MUDA ZA SENSA TAREHE 19 JULAI 2022 July 17, 2022
  • Kuitwa kwenye Mafunzo ya Mfumo wa Anwani za Makazi NAPA March 28, 2022
  • WALIOFAULU USAILI WA SENSA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • WALIOFAULU USAILI WA SENSA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MAJENGO YATUMIKE KUTATUA MIGOGORO YA WANANCHI NASIYO KUPOKEA RUSHWA NA KUFANYIA UFISADI

    July 22, 2022
  • BARAZA LA MAALUM LA KUJADILI HOJA ZA MKAGUZI KATIKA HALMASHAURI YA MPIMBWE

    June 29, 2022
  • Pikipiki kurahisisha usafili kuwafikia wakulima kirahisi katika maeneo mbalimbali

    June 20, 2022
  • WAZAZI N A WALEZI MLINDE MTOTO ILIKUMUEPUSHA NA KUFANYIWA UKATILI

    June 16, 2022
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa