Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Mh Geofrey Pinda Naibu waziri wa sheria na katiba ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Kavuu (pichani) amefanya kikao na Wafanya Biashara wa Halmshauri ya Wilaya ya Mpimbwe leo tarehe 20 july 2021.

Posted on: July 20th, 2021

Wakizungumza baadhi ya wafanyabishara katika kikao kilicho fanyika katika ukumbi wa shule ya Sekondari Usevya, wafanyabiashara wamesema wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya kutozwa ushuru mkubwa ukilinganishwa na mapato wanayoyapata hali inayopelekea wafanyabishara wengine kuhamia maeneo mengine ambayo yanatozo ndogo ya Ushuru, jambo ambalo halimwathiri mfanyabiashara pekeyake bali, linamwaathiri mkulima pia, hali itakayo pelekea kushuka kwa mapato ya Halmashauri.

Pia wamesema kuna mashine iliyopo Mwamapuli ambayo inaweza kufanya Mpibwe kutoa mchele Bora utakao weza kuuzwa kimataifa, Mashine hii imekuwepo na haifanyi kazi, hivyo wanaomba utaratibu stahiki ufatwe ili ianze kufanyakazi, hii itatoa fursa kwa wafanyabishara kuweza kutanua wigo wa fursa zingine, kuepukana na udhalishaji wa mchele kwa kiwango Cha chini.

Aidha; wamesema kuwepo kwa changamoto mbalimbali ikiwemo maji, umeme kukatika mala kwa mala na miundombinu ya barabara kuwa mibovu kunakwamisha shughuli za kimaendeleo.

Kwa upande wake mkurungezi wa halmashuri ya Wilaya ya Mpimbwe Mkurungenzi Catherini Mashalla akijibu baadhi ya maswali ya wafanyabishara amesema anahidi kurekebisha tozo za ushuru, ambapo kwa Sasa gharama ya gunia moja ni 3,500 ikiwa ni maazimio ya kikao cha wadau kilicho fanyika katika ofisi ya mkuu wa mkoa wa Katavi hivyo amesikia kilio cha wafanyabiashara, lakini pia amesema kutokana na maswala ya maji imepangwa maji kufikia kila kata kutoka katika kata ya Mamba. Pia mashine iliyopo mwamapuli ni mashine ya kisasa lakini inatumia mafuta hivyo iko katika mchakato wa kuanza kutumia umeme ili iweze kufanya kazi vizuri na kwa ufanisi mzuri.

Mh Catherini ameongezea kuwa ipo mikopo inatolewa kwa makundi matatu; Wanawake, Vijana, na watu wenye Ulemavu na kuwashauri kuweza kuanzisha kiwanda cha kutengeneza vifungashio kwa ajiri ya kufungashia bidhaa na vyenye nembo ya Mpimwe ilikuweza kutangaza Wilaya

Sanjali na hayo amesema changamoto iliyopo katika kituo cha Afya nikutokana na kituo kuelemewa kwa kuhudumia watu wa kata zote kama Rufaa ya mpimbwe hivyo kusubiria mradi wa Hospitari ya Tupindo kukamilika ilikuweza kuwa kama Rufaa.

Hivyo ameshauri wafanayabishara kuweza kuanzisha viwanda kwa ajiri ya kuchakata nafaka kabla ya barabara zote kukamilika ili watakapokuja wafanyabiashara wakubwa wakute tayari viwanda vipo na vina fanya kazi.

Naye Naibu waziri wa sheria na katiba MH: Geofrey Pinda Akijibu maswali ya Wafanyabiashara amesema wapo watu wanao omba kazi kwa kumpatia Fedha mwajiri ili aweze kumpatia kazi sasa ikiwa mtu atampatia mtu Rushwa akifahamika lazima aondolewe kazini.

Pinda amesema mchele unaotoka mpimbwe ni mchele ambao unaradha hivyo amewataka wafanyabiashara kuutangaza kwa kuweka nembo zenye kuonesha wapi unatoka kwa sababu ni mali ya Mpimbwe wa nasiyo vinginevyo.

Aidha amesema waziri wa Tamisemi Ummy mwalimu ameacha fedha nyingi kwa ajili ya miradi mbalimbali inayoendelea.

Hata hivyo amewataka wakulima kulima mahindi kwa ajili ya chakula Zaidi wakulima wajikite katika mazao ya biashara kama vile Alizeti, Kalanga na Ufuta ilikuweza kupata wanunuzi wa halaka na kujipatia kipato cha halaka kutokana na uhaba wa mafuta uliopo Nchini.

 

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa