• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za Serkari ameishauri Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kujikita katika kizuia Hoja na siyokujibu Hoja.

Posted on: June 18th, 2021

Akizumgumza katika kikao cha baraza la Madiwani cha kujibu hoja  Mohamed s. Msangi (pichani ) ambaye ni mdhibiti kuu wa Nje wa hesabu za serikari amesema katika ripot ya jumla nikama ifuatavyo ,mwaka 2017/2018 hoja zilizokuwa zimeibuliwa Hoja 1, iliyo kuwa imesalia 1 ,kwa mwaka 2018/2019 Hoja zilizokuwa zimeibuliwa  ni Hoja 25 , zilizo fungwa 18 zilizo salia ni 7,Mwaka 2019/2020, Hoja zilizoibuliwa  ni 18, zilizo fungwa 9,na zilizo salia ni 17 ,na ripoti ya mfuko wa jamii  HBF Mwaka 2018/2019 Hoja zilizo ibuliwa 2 hakuna zilizo fungwa , Hoja zilizo salia 2 ,mwaka 2019/20120 hoja zilizo ibuliwa 3, zilizofungwa 2 na zilizo salia Hoja 1.ambazo jumla yake kuu hoja zilizo ibuliwa 49 hoja zilizo 29, zilizo salia 20 Ambazo ni sawa na asilimia zifuatazo  kwa hoja zilizo ibuliwa 100% hojazilizo fungwa 59% na  hoja ambazo hazija fungwa  41%.

Pia amesema hoja zilizo salia zimegawanyika katika makundi mawili ambazokuna hoja zimepatiwa majibu yasiyoridhisha na pili kunahoja ambazo zimepatiwa majibu lakini zinaendelea kutekelezwa.

Aidha amewataka kujikita kuzuia hoja na siyo kujibu hoja katika kuimalisha udhibiti wandani kwa mala nyingi sehemu kubwa inyo zalisha hoja nikatika kitengo hicho kwani kitengo kikifanya vizuri kitasaidi kupunguza hoja Hata hivyo amewataka kutochukua maamuzi ya mtu mmoja badala yake wafanye kazi kama team work ili kuweza kushirikiana na kufanya maamuzi yaliyo sahihi.

Matangazo

  • TANGAZO LA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI June 16, 2023
  • Kuitwa kwenye Mafunzo ya Mfumo wa Anwani za Makazi NAPA March 28, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI AJIRA ZA MUDA ZA SENSA TAREHE 19 JULAI 2022 July 17, 2022
  • WALIOFAULU USAILI WA SENSA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA WA KATAVI AMETEMBELEA MAONESHO YA NANENANE MBEYA

    August 04, 2023
  • ALIYEKUWA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA MPIMBWE BI. CATHERINE MASHALLA AKABIDHI RASMI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA BI. SHAMIMU MWARIKO BAADA YA KUHAMISHIWA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SUMBAWANGA.

    June 15, 2023
  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA MLELE IMEFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA MPIMBWE

    June 14, 2023
  • RC MRINDOKA ATATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHARA KATAVI.

    May 29, 2023
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa