• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

MPIMBWE DC YAAZIMISHWA SIKU YA KUZALIWA YA RAIS SAMIA KWA KUPANDA MITI

Posted on: January 27th, 2026

Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe imeungana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa kushiriki zoezi la upandaji miti lililofanyika leo tarehe 27 Januari 2026 katika Kituo cha Afya cha Usevya, Kata ya Usevya. Katika maadhimisho hayo, Rais Samia ametimiza umri wa miaka 66, huku tukio hilo likiwa na lengo la kuhamasisha utunzaji wa mazingira na kuendeleza uhai wa taifa.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Bi. Shamimu Daudi Mwariko, alimpongeza Rais Samia kwa siku yake ya kuzaliwa na kumtakia afya njema, baraka na maisha marefu. Amesema miti ni uhai na nguzo muhimu katika utunzaji wa mazingira, akisisitiza kuwa kupanda miti ni ishara ya uhai na ustawi wa Taifa la Tanzania. Ameongeza kuwa upandaji wa miti katika eneo la Kituo cha Afya cha Usevya unaonesha namna ambavyo Rais Samia amewekeza kwa vitendo katika sekta ya afya, ikiwemo utekelezaji wa mpango wa Bima ya Afya kwa Wote unaotarajiwa kuwa mkombozi kwa wananchi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Ndugu Mwamle Saka, amesema halmashauri inaungana na Rais Samia katika dhamira yake ya kutunza na kuhifadhi mazingira. Ameeleza kuwa katika hafla hiyo jumla ya miche ya miti 400 imepandwa katika eneo la Kituo cha Afya cha Usevya, na kuongeza kuwa zoezi la upandaji miti litaendelea kufanyika katika kata zote tisa za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe. Aidha, ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la kupanda na kutunza miti.

Naye Mheshimiwa Diwani wa Kata ya Usevya, Ndugu Geofrey Chundu, amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi la kupanda miti kwenye maeneo yao, akibainisha kuwa miti inalinda na kuboresha mazingira pamoja na kuchangia maendeleo endelevu. Ameongeza kuwa kushiriki zoezi hilo ni sehemu ya kumuunga mkono Rais Samia katika jitihada zake za utunzaji wa mazingira, huku akimpongeza kwa siku yake adhimu ya kuzaliwa na kumtakia maisha marefu yenye afya njema.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili October 12, 2025
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili wa Ajira za muda Katika Mfumo wa anwani za Makazi March 15, 2022
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPIMBWE DC YAAZIMISHWA SIKU YA KUZALIWA YA RAIS SAMIA KWA KUPANDA MITI

    January 27, 2026
  • Mtihani wa Darasa la nne

    October 21, 2025
  • Shamrashamra za Wananchi wa Jimbo la Kavuu kujiandaa kumpokea Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    October 15, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili

    October 12, 2025
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa