• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Naibu waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni mubunge wa jimbo la Kavuu GEofrey Pinda amekutana na Viongozi wa Dini .

Posted on: July 24th, 2021

Na Odetha Salum. Mpimbwe,Katavi

Akizungumza leo mbunge wa jimbo la kavuu Geofrey Pinda amewataka viongozi hao kudumisha amani katika dini zao, ilikuweza kuepuka vitendo viovu Vinavyo weza kuhatarisha amani.

Pinda amesisisitiza viongozi hao kuombea Jimbo la Kavuu ilikuweza kuepukana na magonjwa ya milipuko yanatokana na hali ya hewa.

Aidha amesema ni vyema kuweka ushirikiano baina ya serkali pamoja naviongozi wa dini kwani maendeleo yanatengemea pande zote mbili.

Wakizungumza viongozi wa dini katika kikao hicho  wamesema changamoto kubwa wanazokutana nazo nipamoja na ukosefu wa Ardhi kwa ajili yakujengea makanisa na miskiti .

Pia wamesema kumekuwa na changamoto za Barabara kutokuwa kwa kiwango cha lami,maji, na umeme ambao umekuwa kero kwa kukatikatika ovyo   na  kukosekama kwa sehemu kubwa,  uwepo makapuni yanayo ibia watu kwa kuchukua fedha zao kwa ajili ya  nguzo na matokeo yake  kuondoka bila kuwaingizia umeme .

Akijibu maswali ya viongozi hao amesema katika swala la maji pamoja na barabara ni swala ambalo mpaka sasa liko linafanyiwa kazi kwani maji yatatolewa katikakijji cha mamba mpaka sehemu zote za jimbo hili.

Pia amewashauri viongozi hao kuanza kulima mazao ambayo yanasoko la haraka kama vile Alizeti,Karanga na Ufuta  ilikuweza kupata kipato cha haraka na chenye kukidhi mahitaji ya familia.

Sanjari na hayo amewataka viongozi kuzingatia kanuni za kiafya katika kupambana na virusi vya korona kwakuwahimiza waumini kunawa kwa Majitiririka ,Sabuni  kuvaa Barakoa na kuepuka kukaa kwa kusogeleana wakati wakiwa Kanisani.

Hata hivyo viongozi hao wadini wamechagua kamati  ya amani itakayo wawezesha kukutana na kujadili changamoto zao na kuwakilisha katika Serilkali ambapo viongozi wake Mwenyekiti  ni Seifu Hassan,Makamu Mwenyekiti  Vitusi Meza, Katibu Jems Haswaga,katibu msaidizi Simoni Kazumbagu ,Mhasibu ni Samson Mhondela.

 

 

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa