• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

SHEREHE ZA SIKU YA MWANAMKE KUANZA MPIMBWE

Posted on: March 1st, 2023

Wanawake wa Halamshauri ya wilaya ya Mpimbwe mapema leo Tarehe 1march 2023 wamefanya sherehe ya uzinduzi wa siku ya mwanamke katika kata ya Ikuba kijiji cha kashishi Mkoa wa Katavi.


wakiwa katika sherehe hiyo wamesema wanayofuraha kwa wiki hii maalum ambayo itawawezesha katika kujadili maswala mbalimbali yatakayo saidia kuinua maendeleo ya wanawake na kuepukana na maswala ya ukatili


Akizungumza mgeni rasm katika sherehe hiyo mhe Jenitha Sungura ambaye  ni Diwani  Vitimaalum Tarafa ya Mpimbwe amesema wanawake wanayonafasi kubwa katika famili kwani ndio walezi wakuu wa kuanzisha vizazi vyenye maadili na kuendeleza vizazi vitakavyokuwa nguzo imara katika Taifa kwa ujumla.


Aidha amewataka wanawake kuwapeleka watoto shule pasipo kujali njinsia ya watoto pia amesema mtoto wakike anayo nafasi ya kusoma kwani kumuozesha mtoto akiwa mdogo nikukosesha hakizake za Msingi.


 Afisa Maendeleo ya jamii Daniely Saimon

amesema mwanamke anayo haki yakupewa thamani kama anavyopewa mwaname kwakuwa wote wanahaki sawa pia amewataka wanawake kuendelea kuepukana na masawala ya kuweka matabaka kwa watoto.


Ikumbukwe kuwa  siku ya mwanamke Duniani kote Huadhimishwa  March 8 ambapo lasimi huzinduliwa Tarehe 1 March na kusherekewa ndani ya siku saba ambapo wanawake hukutana na kujadili maswala mbalimbali .


 Kaulimbiu ya Siku ya mwanamke inasema Ubunifu na mabadiliko ya teknologia chachu katika kuleta Usawa wa kijinsia.


Mwisho.

Imetolewa na

Ofisi ya mawasiliano Serikalini

Halmashauri ya Mpimbwe.


Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa