• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

SHULE BORA YATOA MAFUNZO YA (UWaWa) Ushirikiano wa wazazi na Walimu

Posted on: February 28th, 2023

Wataalam wa elimu  ngazi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Mkoa wa katavi wapatiwa mafunzo ya siku tatu  ambayo yalianza Tarehe Februari 27, 2023 hadi Machi 01  katika ukumbi wa Shule ya msingi Majimoto


Mafunzo hayo yaliyohudhuriwa na washiriki 101 wakiwa ni  Waratibu elimu kata , walimu wakuu wa shule za msingi 46, pamoja na  wenyeviti wa kamati za shule .

Akifungua Mafunzo hayo Mratibu wa Shule Bora  ngazi ya Halmashauri Bi Habiba Ngigwa amewataka washiriki kuendelea kuzingatia mafunzo wanayopewa kwa lengo la kuendelea kukuza elimu kwa kushirikiana na wazazi /jamii na walimu

Aidha amesema Ushirikiano wa Wazazi na Walimu (UWaWa )wanao wajibu wa kuhudhuria vikao shuleni,  kusimamia usomaji wa wanafunzi nyumbani, kuibua na kuendeleza vipaji vya watoto,  kuhamasisha uandikishaji wa watoto shuleni, mahudhurio pamoja na Mvuko wa wanafunzi kwenda sekondari, kuboresha miundombinu ya shule na kuimarisha mazingira salama na rafiki ya ujifunzaji ili kuchochea maendeleo ya taaluma shuleni


Pia amesema Mradi huu utasaidia kamati za shule  katika maendeleo ya shule , kusimamia ustawi, kutatua changamoto za watoto wenye uhitaji Maalum pia kushushughulikia maswala ya ukatili .

Mafunzo hayo yameandaliwa na Mradi wa Shule Bora unaofadhiriwa na   Serikali ya Uingereza  kupitia mfuko wa UK aid kwa lengo la kuwajengea uwezo washiriki kwa ajili ya kuimarisha shughuli za UWaWa


Mwisho

Imetolewa na

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Halmashauri ya Mpimbwe.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa