• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Tathimini ya Ujenzi wa Madarasa katika Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na mapambano dhidi Uviko 19 katika Halimashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

Posted on: December 7th, 2021

 Halmashauri ya Mpimbwe tuna hatua nzuri ya ujenzi wa madarasa yatokanayo na fedha za uviko 19 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassani .

Kauli hiyo imetolewa na timu za usimamizi na ufuatiliaji   wa miradi  wakati wa kikao cha  kutoa tathimini ya hatua ya ujenzi wa madarasa  yanayo jengwa kwa fedha za  uviko 19 mbele ya mkuu wa wilaya ya Mlele  Mh.Filberto Sanga   

Baada ya kusoma maendeleo ya miradi kwa kila shule  na kuonekana kufikia hatua nzuri wamesema juhudi pamoja na ushirikiano ndio chachu ya matokeo mazuri yanyoonekana kabla ya Tarehe  inayo tarajiwa kuzinduliwa kwa majengo hayo kitaifa .

Kikao hicho kilicho wajumuisha  madiwani walimu pamoja na wakuu wa idara  mbalimbali kimeonyesha  hali ya mwamko  wakufanya kazi kwa bidii ukilinganisha na kipindi chanyuma  ambapo mradi uliweza kuchukua mda mrefu bila kumalizika .

Akisoma taarifa  kwa niamba ya mkurungenzi  mtendaji,  Mkuu wa idara ya mipango  Anthony Danieli Kapula  amesema Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe ilipokea fedha kwa ajili ya utekelezaji wa ujenzi wa vyumba 18 vya madarasa kwenye Shule Shikizi Msingi pamoja na sekondari ujenzi   wa vyumba 31.

Baada ya mapokezi hayo Halmashauri iliweka mikakati mbalimbali ya kutekelza miradi ikiwa ni pamoja kuandaa mpango kazi, kuunda timu za usimamizi na ufuatiliaji na kusimamia zoezi la upatikanaji wa mafundi. Aidha, suala la manunuzi ya vifaa vya ujenzi pia liliweza kuratibiwa ili kupata vifaa pamoja kwa nia ya kufikia malengo kwa pamoja na kwa wakati.

 Aidha fedha zilizopokelewa hadi sasa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hii ni Tsh. 1,376,514,747.00

Naye Mkuu wa wilaya ya Mlele Mh. Filberto Sanga   amesema amefurahishwa na hatua inayo endelea katika ujenzi kwani ujenzi umeendelea kwa kasi ya juu hali inayo tia moyo katika utendaji kazi .

Aidha amewataka  timu za usimamizi kuhakikisha kunaandaliwa taarifa ya ununzi wa vifaa na pamoja na gharama zote zilizo tumika kutambulika ilikuweza kujua kiasi kilicho tumika na kilicho bakia kwa kila jengo .

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa