• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

UHARIBIFU WA NJIA ZA MTO KUSABABISA KAFURIKO IZIWASUNGU

Posted on: April 13th, 2023


Uharibifu  wa miundombinu ya njia za maji zimesababisha kijiji cha Iziwasungu kata ya Kasansa Halmashauri ya Mpimbwe Mkoa wa Katavi kukumbwa na mafuriko na baadhi ya wananchi  nyumba zao kubomoka na kupelekea kukosa maeneo ya kuishi na wengine nyumba zao kuingiliwa na maji.


Mkuu wa wilaya ya Mlele Mhe. Majid Mwanga ,  Mwenyekiti wa Halmashauri  Silas Ilumba ,Mkurugenzi Mtendaji Bi. Catherine Mashall pamoja na kamati ya Ulinzi na Usalama Wamefika katika Kijiji cha Iziwasungu kutoa pole kwa Waathirika hao.


Mkuu wa Wilaya wa Mlele Mhe Majid Mwanga amewataka wananchi kuendelea kuchukua Tahadhari dhidi ya magonjwa ya mlipuko  kwa kuchemsha maji ya kunywa na kuhakikisha wanawalinda watoto ilikuweza kuepusha ajali za watoto kutumbukia kwenye maji.


Aidha amesema kutokana na mafuriko hayo aliyotokea Usiku wa Tarehe 12 Mwezi 4 mwaka 2023 Kaya takribani 12  zimeathirika kwa kukosa Makazi ambapo jitihada za awali zimechukuliwa na kuwapatia Turubai  za kulalia na  kuwataka kulala shuleni wakati wakisubiri  maji yapungue  .


Aidha amewataka walio sababisha uharibifu huo kufikia Tarehe 17 mwezi huu

Wawe wameweka mipango thabiti ya namna ya kuyaruhusu maji hayo kupita katika njia yake ya zamani kabla sheria haijachukuliwa dhidi yao.


Akieleza chanzo cha Mafuriko Hayo Mwenyekiti wa Halmashauri Silas Ilumba Amesema Baadhi ya wananchi walichepusha maji kutoka mtoni na kupeleka katika Mbuga za mpunga  hali iliyosababisha Mto kuacha njia yake na kuingia katika maeneo ya wananchi.


Akitoa mwarobaini wa tatizo hilo  Matrida Juakali  ambaye ni mwathirika wa  mafuriko hayo amesema njia sahihi ya kupata suluhu nikuhakikisha  mto unarudishwa katika njia yake ilikuweza kunusuru kaya hizo.





Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa