• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Wajumbe wa kamati ya siasa Mkoa wa katavi wametembelea Miradi miwili katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

Posted on: March 19th, 2022

Wajumbe wa kamati ya siasa Mkoa wa Katavi wakiongozwa na  mjumbe wa kamati kuu CCM Taifa Ndugu Girbat Sampa  wamefanya ukaguzi wa miradi ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM 2020-2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

Wakiwa katika Ziara hiyo katika Halmashauri ya Wilaya ya  Mpimbwe  wamekagua  vyumba  vitatu vya madarasa  shule ya sekondari Usevya vilivyo jengwa kwa fedha za uviko 19 , Mabweni ya Wanafunzi  shule ya  Sekondari Usevya na  kituo cha Afya Kibaoni   .

Aidha Mjumbe wa kamati kuu Taifa Girbat Sampa amepongeza usimamizi wa miradi hii kwakuwa miradi imesimamiwa kikamilifu na kusisitiza  kuzidi kusimamia kwa ukamilifu mradi wa ujenzi Kituo cha Afya cha kata ya Kibaoni na kuhakikisha kinakamilika pasipokuwa na mapungufu kwakuwa mpaka sasa hakuna makosa yoyote.    .

Aidha Sampa amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mh. Samia  Suluhu Hassan kwa mambo mengi aliyoyafanya ndani ya mwaka mmoja  ikiwa nipamoja na kuibua miradi mbalimbali ambayo inaonekana na kuleta tija kwa wananchi.

Nao wanachi katika kata ya kibaoni wameshukuru kupata kituo cha Afya kutokana na namna walivyokuwa wakipitia changamoto za huduma Ya Afya, ukosefu huo wa Kituo cha Afya ulikuwa ukisababisha wanawake wengi kuhangaika wakati wakujifungua.

Na Odetha Salumu

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa