• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

WAZAZI N A WALEZI MLINDE MTOTO ILIKUMUEPUSHA NA KUFANYIWA UKATILI

Posted on: June 16th, 2022

Mkoa wa katavi umefanya maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika  katika Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe katika viwanja vya shule ya Sekondari Mizengo Pinda  Tarehe 16/06/2022.

 Akizunguza Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe Mwanamvua Mrindoko  amesema  baadhi ya wazazi wamekuwa na tabia ya kuwafanyia ukatili Watoto   kwanamna tofauti tofauti   hivyo kuwakosesha haki zao  za msingi.

Amesema baadhi ya wazazi wamekuwa wakiwatumikisha Watoto kazi ambazo hazistahili kwa umri wao na wengine kupewa ajira wakati wa muda wa masomo,kupewa kazi hatarishi  kuwalawiti watoto wakiume  na wakike kubakwa kutokana na mazingira wazazi  kuwaamini waganga wa tiba za asili na kuwaachia Watoto  kwa kwa lengo la kutibiwa usiku wakati mzazi hayupo badala yake wanafanyiwa matendo ya kikatili

Mkuu wa Mkoa Mhe Mwanamvua amesema wazazi wanatakiwa kijenga mazoea ya kuzungumza na Watoto ilikujua changamoto zinazo wakuta wawapo mbali nao kwani wazazi walio wengi hawaongei na Watoto badala yake wanakuwa wakali kwa watoto mpaka kufikia hatua ya mtoto kushindwa kujieleza kwa mzazi kwa kuhofia kupigwa au kufokewa.

akisoma taarifa kwa niaba ya Watoto Tabu Elbark Mwagonga Mwanafunzi wa Kidato cha kwanza shule ya sekondari Mizengo Pinda ameeleza chamgamoto wanazokutananazo watoto ikiwemo nikupigwa, kunyimwa chakula , kukosa Elimu, migogoro inayo sababisha wazazi kutengana , mila zisizo faa, watoto kupigwa , ubakaji , ulawiti, na Imani za kishirikina mambo yote hayo yanasababisha  kumnyima haki zake mtoto.

ameiomba jamii ihamisishwe katika kumlimda mtoto na kukemea vitendo viovu dhidi yao.

Awali akisoma  Taarifa   Wilson  Kenedy Afisa Maendeleo ya Jamii ambaye pia ni mratibu wa  maendeleo ya mtoto Mkoa  wa Katavi  amesema  Hali  ya ukatili kwa Watoto katika  Mkoa wa Katavi  imepungua  ikiwa katika kipindi cha mwaka  2020 hadi 2021 kwa Mkoa wa Katavi Mimba za utoto zilikuwa 1192, Ubakaji 59 utekelezaji wa familia 165 ndoa za utotoni  45 lakini kwa mwaka 2022 kuanzia mwezi Januari mpaka mwezi Juni  mimba za utotoni ni 2,   ubakaji  8 , utelekezaji familia 32, ulawiti 4,  ndoa za utotoni 0  hali inayo onesha mabadiliko makubwa katika kupungua  ukatili kwa mtoto.

 Aidha ameishukuru serikali kwa kutoe elimu bila malipo  kuanzia elimu ya msingi mpaka kidato cha sita  pia ujenzi wa vyumba vya madarasa vitakavyowezesha  Watoto kusoma katika mazingira mazuri na kupata elimu bora.

Kwa upande wake Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi ACP Ally Hamad Makame amesema jeshi la polisi katika mkoa wa Katavi lina endelea na kutoa Elimu  kwa  jamii ya kupinga ukatili  wa kijinsia , kutokana na elimu hiyo  jamii imejitahidi kutoa ushirikiano katika kukomesha vitendo vya ukatili.

ACP Ally Hamadi Makame amesema wazazi na walezi wanatakiwa kuendelea kutoa ushirikiano katika kuendeleza na kumlida mtoto dhidi ya vitendo vya ukatili.  

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa