• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika

Agriculture, Irrigation and Cooperative

Lengo Kuu la Idara:

Kutoa huduma bora za ugani kwa wananchi ili walime kilimo cha kisasa na chenye kuongeza tija kwa lengo la kuinua hali ya kiuchumi ya wakulima wa Wilayani Mlele.

Kipaumbele cha Idara:

Kuongeza uzalishaji wa mazao ambayo yalikuwa hayapewi kipaumbele kama Alizeti, Mtama, Mihogo, Viazi, Mbogamboga na Matunda pamoja na kuongeza tija ya uzalishaji wa mazao ya chakula kama mahindi na mpunga na tumbaku ambalo ni zao kuu la biashara.

Malengo 

  • Kutoa huduma bora za ugani kupitia mashamba darasa na mashamba ya mfano kwa kila kijiji chenye mtaalamu
  • Kuondoa tatizo la ukosefu wa lishe bora kwa wananchi wa Mlele kwa kutoa elimu juu ya lishe bora, kuhamasisha ulimaji na utumiaji wa viazi lishe na mchicha-unga.
  • Kuondokana na tatizo la njaa kwenye maeneo ya Halmashauri kwa kuhakikisha kila mkulima anakuwa na ekari moja (2) ya zao la chakula lililolimwa kisasa,pamoja na  kutoa elimu juu ya uhifadhi wa chakula kwa njia za kisasa.

Utekelezaji wa malengo ya kiidara

 

Kazi zifuatazo zimefanyika katika kutekeleza malengo ya kiidara kuanzia Julai hadi Septemba 2016. 

  • Kupeleka washiriki 46 kwenye maonyesho ya nane nane kanda katika jiji la Mbeya, kwa mwaka 2016. Katika mwaka wa 2017, Halmashauri imepanga kupeleka wakulima 35 na wataalamu kutoka maeneo ya kutolea huduma za ugani kwa killa kata.

Matangazo

  • Kuitwa kwenye Mafunzo ya Mfumo wa Anwani za Makazi NAPA March 28, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili wa Ajira za muda Katika Mfumo wa anwani za Makazi March 15, 2022
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • Pikipiki kurahisisha usafili kuwafikia wakulima kirahisi katika maeneo mbalimbali

    June 20, 2022
  • WAZAZI N A WALEZI MLINDE MTOTO ILIKUMUEPUSHA NA KUFANYIWA UKATILI

    June 16, 2022
  • Shilingi milioni 61,852,650 kukamilisha skimu ya umwagiliaji katika kijiji cha Kilida Kata ya Mamba halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

    May 26, 2022
  • kilimo cha umwagiliaji kitasaidia katika kuinua Uchumi wa Mkulima .

    May 10, 2022
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa