• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

AGIZO LA WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA LATEKELEZWA KWA WAKATI MPIMBWE

Posted on: December 29th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Wilayani Mlele Mkoani Katavi imetekeleza agizo la Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kasim Majaliwa la Kituo cha Afya Majimoto kuanza kutoa huduma kwa Wananchi ifikapo 27 Desemba 2022.

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Hoza Mrindoko, 29 Desemba, 2022 ametembelea kituo hicho na kushuhudia huduma mbalimbali za Afya zikitolewa na Wataalamu wa Afya Kituoni hapo.

Akizungumza na Wananchi waliofika kupata huduma kituoni hapo Mhe.Mwanamvua ameupongeza uongozi wa Halmashauri ya Mpimbwe kwa kutekeleza kwa wakati Maagizo ya Waziri Mkuu ambapo amewataka Wananchi wa Majimoto kuendelea kutunza miundombinu ya Kituo hicho cha kutolea huduma za Afya.

Mhe.Mrindoko amemuelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Wilayani Mlele kuharakisha Ujenzi wa Nyumba za Watumishi kituoni hapo ili waweze kuwa karibu na Mazingira ya kazi ili Wananchi waweze kupatiwa huduma kwa wakati.

Aidha Mhe.Mrindoko amesisitiza Wananchi wa Majimoto kutoa ushirikiano kwa Viongozi ikiwa ni pamoja na kutoa Taarifa kwa vyombo husika iwapo watabaini upotevu wa Dawa na Vifaa tiba.

Mnamo Tarehe 14 Desemba, 2022 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa alifanya ziara Wilayani Mlele katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe ambapo alitembelea Kituo cha Afya Majimoto na kutoa maagizo ya kituo hicho kuanza kutoa huduma kwa Wananchi ifikapo 27 Desemba 2022.

Mwisho.

Imeandaliwa na

Kitengo cha Mawasilino Serikalini .

Halmashauri ya Mpimbwe.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa