• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe limeridhia na kupitisha Mpango wa Bajeti 2022/2023

Posted on: January 21st, 2022

Na Odetha Salum

Baraza la Madiwani limeridhia na kupitisha Mpango wa Bajeti ya Tsh17,218,976,432.45. kwa mwaka wa Fedha 2022/2023 itakayo saidia katika shughuli mbalimbali za Halmashauri Ukilinganisha na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020/2021 ambayo Bajeti yake kwa mwaka huo ilikuwa Tsh16,453,578,844,28.

Akisoma Taarifa ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2022/2023 Afisa Mipango   Daniely Anthony kwa niaba ya Mkurungenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya ya Mpimbwe Bi. Catherine Mashalla katika Baraza la Madiwani amesema katika Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2022/2023 Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe imepitisha Mpango wa Bajeti wa Tsh 17,218,976,432.45 kwa ajili ya utekelezaji wa kazi mbalimbali zilizo pangwa kufanyika katika Halmashauri.

Fedha hizo zimegawanyika katika  makundi yafuatayo; Tsh 6,863,120,000.00 kwaajili ya Ruzuku ya mishahara , Tsh 980,752,844.28 kwa ajili ya Ruzuku ya matumizi mengineyo,  Tsh 80,486,000.00 kwaajili ya matumizi mengineyo, Tsh 3,139,747,138.19 kwaajili  ya miradi ya Maendeleo inayofadhiliwa na fedha za ndani ,Tsh 4,460,100,449.98 miradi ya Maendeleo inayo dhaminiwa na  Fedha za  wafadhili ,Tsh 1,517,470,000.00 Makusanyo ya ndani ya siyo fungiwa, Tsh 177,300,000,00 mapato ya ndani yaliyofungiwa   , Bajeti hii imeongezeka kwa asilimia 4.65 ukilinganisha na Bajeti ya mwaka 2021/2022

Aidha Baraza limeshauri kubuni vyanzo vingine vya mapato ili   kuweza kuongeza kipato katika Halmashauri Kama vile kukusanya ushuru na tozo itokanayo na mazao ya uvuvi (samaki) hivyo imeshauriwa Barabara itengenezwe kutoka Mto kavuu mpaka Ziwani ili kurahisisha ukusanyaji watozo hizo.

 Katika Bajeti ya mwaka wa Fedha   2021/2022 Bajeti hiyo mpaka kufikia Mwezi Juni   ilijumuisha mapato ya ndani yasiyo fungiwa,TshTsh1,293.725,000.00 , kiasi kilicho tolewa Tsh 1,830, 781, 119.85. na kiasi kilichotumika  Tsh1,402,171,121.16. mapato ya ndani yaliyo fungiwa(NHIF+iCHF+ADA (Kidato cha 5na6 )+Minara ya simu ), Tsh 82,870,000.00 kiasi kilicho pokelewa 27,952,918.41 na kiasikilicho tumika 26,555,272.49 . Ruzuku ya mishahara ya kawada, fidia ya vyanzo vya mapato vilivyofutwa GPG Tsh80,486,000.00 ambapo fedha iliyo pokelewa ni Tsh 66,528,783.44 na fedha iliyo tumika ni Tsh47,777,152.14, Ruzuku ya matumizi mengineyo ni Tsh 796,418,000.00 fedha iliyo pokelewa Tsh494,903,604.93 na kiasi kilicho tumika Tsh470,158,424.68. Ruzuku ya MishaharaTsh Tsh7,301,182,000.00. ambapo kiasi kilicho pokelewa Tsh6,352,576,120,00. Na kiasi kilicho tumika Tsh6,262,962,655.00. Ruzuku ya Maendeleo,Fedhaya ndani  Tsh2,843,369,580.46 Ambapo kiasi kilichopokelewa Tsh 2,319,764,370.11 na kiasi kilichotumika Tsh2,805,855,720.16 .na Wahisani Tsh Tsh2,032,819,816.00 ambapo kiasi kilicho pokelewa ni Tsh 779,043,399.30 na kiasi kilicho tumika Tsh  559,451,381.33   Kwa mwezi juni jumla ya Bajeti ilikuwa  Tsh 14,430,870,396.46  kiasi kilicho pokelewa  ni 11,871,550,316.04 na kiasi kilicho tumika ni Tsh 11,574,931,726.96.

 Afisa Mipango amesema Mpaka kuishia mwezi Disemba 2020/2021 Mapato ya ndani yasiyofungiwa Bajeti Tsh1,354,725,000.00. fedha iliyo pokelewa Tsh1,313,366,005.36. Fedha zilizotumika Tsh716,736,227.67. na mapato ya ndani yaliyofungiwa (NHIF+iCHF+ADA (Kidato cha 5na 6)+minara ya simu Bajeti Tsh 252,793,000.00 Fedha iliyopokelewa Tsh 47,160,296.60.Fedha zilizo tumika 0,00 , Ruzuku ya matumizi ya kawada , Fidia  ya vyanzo vya mapato  vilivyofutwa  Bajeti Tsh 80,486,000,00  Fedha iliyo pokelewa 0.00. na Fedha iliyotumika0.00, Ruzuku ya matumizi mengineyo Bajeti ni Tsh 980,752.844.28 Fedha iliyopokelewa Tsh 548,638,952.87. Fedha zilizo tumika 197,471 120.00 Ruzuku ya mishahara Bajeti ni Tsh 6, 863, 120, 000,00 fedha iliyopokelewa   3,531, 086,000.00 na Fedha iliyotumika 3, 094,940, 454.33. Ruzuku ya Maendeleo, Fedha za Ndani Bajeti ni Tsh  2,254,845,000,00. fedha iliyo pokelewaTsh 1, 685,323,054,.01 Fedha zilizo tumika Tsh 232, 228,394,00. Na wahisani Bajeti ni Tsh 4, 666,857,000.00 Fedha zilizopokelewa 2,171,188,643.36. Fedha zilzo tumika Tsh 815 ,743, 496.94. ambapo jumla yake kuu ni TSH 16,453,578,844. 28.

Hata hivyo amesema katika Bajeti hiyo kulikuwa na changamoto za utekelezaji wamiongonimwa changamoto hizo ni uhaba wa Watumishi na vitendea kazi kama Magari hivyo kufanya vyanzo vingine visiweze kufikiwa. 

Baadhi yawafanya Biashara kubuni mbinu mbalimbali za kukwepa kulipa ushuru na fedha za Ruzuku kutofika kwa wakati.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa