• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

HALMASHAURI YA MPIMBWE KUENDELEA NA ZOEZI LA UWEKAJI VIBAO VYA NYUMBA NA MITAA

Posted on: April 18th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Mlele Mkoani katavi  Filbarto Sanga  amewangoza  watumishi wa  Serikali za mitaa na  viongozi wa Dini  wa Halmashauri ya  Wilaya ya Mpimbwe katika zoezi la  uzinduzi  wa kuweka  vibao  vya Barabarani  katika Tarafa ya Mamba na Tarafa ya Mpimbwe.

 Katika uzinduzi  huo, Sanga  amewataka  wananchi  kuhakikisha  wanatoa  ushirikiano  katika  zoezi hilo ilikulifanikisha kama ilivyo pangwa.

Aidha amewataka  wananchi kuendelea na  kuweka vibao  katika nyumba zao  ilikuweza  kurahisisha  utoaji wa huduma  ikiwa ni  sambamba  na kuendelea  kulinda  miundombinu  ya vibao vinavyo wekwa katika barabara na mitaa.

Halmashauri ya mpimbwe imepokea  Tsh milioni 70,767,291.69 kutoka serikali kuu kwa ajili ya kukamilisha zoezi hili .

Katika hatua nyingine, katika kikao na watumishi  hao wa Halmashauri  ya Wilaya ya Mpimbwe  DC Sanga  amewataka watumishi  kuhakikisha  wanasimamia  zoezi la Chanjo ya  polio  ilikila mtoto  mwenye umri chini ya miaka mitano  wahakikishe  anapata chanjo hiyo .

Hata hivyo   amewataka  wananchi  kutoa  ushirikiano  kwa watoa   huduma  watakao wakipita  kutoa chanjo  ilikuweza kufanikisha zoezi   pasipo na usumbufu  kwani kuto kufanya hivyo  hatua kali za kisheria  zitachukuliwa .

 Na Odetha salum

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa