• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA MLELE IMEFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA MPIMBWE

Posted on: June 14th, 2023

Wakiwa katika ziara hiyo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Wamekagua Miradi ya  Ujenzi wa vyumba vya Madarasa  Kupitia Mradi wa Boost  yanayo endelea kujengwa katika shule za Bula , Makuyugu, Kilida ,Mirumba, Mkuyuni,Nyambwe, Ikuba, Kibaoni, Maimba, na Migunga Yenye Thamani ya Tsh 1,690,600,000.00.


Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa Chama cha  Mapinduzi Wilaya ya Mlele Mhe. Wolfugani Mizengopinda amewataka  wasimamizi wa Miradi kusimamia kiukamilifu na kuzingatia Ubora wa viwango vya ujenzi vilivyo wekwa  ili kuepuka kujenga Miradi isiyo na kiwango  kinacho stahili ili kuweza kusaidia Miradi hiyo kukamilia kwa wakati na kusaidia kupunguza Msongamano wa  wawanafunzi Darasani.

Joshua Mbwana ni Katibu wa CCM Wilaya ya Mlele  Amemshukuru  Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kujenga Miradi ya Maendeleo katika Jimbo la Katavi na Kavuu na kuendelea kuwajali watanzaia wote  

Aidha Mbwana amesema wameridhishwa na ujenzi wa Miradi yote inayotekelezwa kwani inakwenda kwa kasi na kwa kuzingatia ubora.

Awali walitembelea  Mradi wa Daraja la Mwamapuli ambalo nikiunganishi kikubwa kwa  wanachi ambalo lilisababisha kuzorota kwa usafirishaji wa mazao

Pia walitembelea Shule ya Sekondari Mwamapuli kuangalia  namna ambavyo Serikali  inaendelea kutekeleza Miradi katika sehemu ambazo hazikuwa na  shule.



Matangazo

  • TANGAZO LA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI June 16, 2023
  • Kuitwa kwenye Mafunzo ya Mfumo wa Anwani za Makazi NAPA March 28, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI AJIRA ZA MUDA ZA SENSA TAREHE 19 JULAI 2022 July 17, 2022
  • WALIOFAULU USAILI WA SENSA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA KATAVI IMETEMBELEA NA KAKAGUA MIRADI

    November 21, 2023
  • KIKAO CHA MAJUMUISHO YA ZIARA YA MH. MKUU WA WILAYA KWA NJIA YA MJADALA

    October 23, 2023
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA MWANAMKE ANAYEISHI KIJJINI

    October 22, 2023
  • ZIARA YA KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO KATIKA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA KATA YA IKUBA NA CHAMALENDI

    October 19, 2023
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa