• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Kamishina wa polisi Afande Musa Ally Musa akitoa mafunzo kwa Madiwani, Watendaji Wakata, Wenye viti wa vijiji, Askali Polisi na Idara mbalimbali namna ya kutumia polisi jamii katika Wilaya yao.

Posted on: June 24th, 2021

Na, Odetha Salum, Mpimbwe, Katavi.

Akizungumza kamishina wa polisi Musa Ally Musa ( pichan) katika ukumbi wa shule ya Sekondari Usevya hapo jana uliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Mkoani Katavi, Afande Musa Ally Musa amesema mwaka 2006 Jeshi la polisi lilipata ushauri kutoka Vyuo Vikuu kutokana na matukio yaliyo kuwa yamekithiri kwa wakati ule, walipewa ushauri katika mambo matatu ya kuboresha ili kulifanya jeshi la polisi kuwa la kisasa kwakutumia technologia za kisasa, Weledi na kutumia mfumo unao husika na jamii yaani polisi jamii.

Kamishna wa polisi Musa Ally Musa amesema ilitolewa agizo kuwa kila kamanda wa polisi kuhakikisha anapeleka Polisi katika kila Kata na akae katika Kata pia Ofisi zake ziwe katika Kata ili aweze kuhudumia Jamii akiwa katika Kata hiyo.

Aidha amesema lengo la kupeleka Askari hao ni kuimalisha urinzi na usalama katika Kata, pia ili kutatu changamoto mbalimbali zinazo wakabili mwananchi ikiwa ni katika kero za maji, Watoto kuto kwenda shule mambo ya Mazingira na siyo kukamata wa halifu tu.  

Pia amesema waligundua katika kata kuna kamati mbili mhimu ambazo zinafanya kazi kamati ya Maendeleo na kamati ya Ulinzi na Usalama ambapo Mwenyekiti wa kamati hizo ni Afisa Kata hivyo Jeshi la Poli likaona kuwepo kwa Polisi Kata ilikuweza kuwa katibu wa kamati ili kuweza kijadili changamoto ndani ya kata.

Hata hivyo amesema kumekuwa na changamoto za kutokuwepo kwa Askari kata katika kata jambo ambalo viongozi wa kata wakiwemo madiwani hawa ulizi kutaka kujua kwa nini hakuna polisi katika kata ilikuimarisha usalama wa wananchi na mali zao.

Kwaupande wake Kamishina mwandamizi wa polisi Afande Edibert Kyondo amesema katika matishio ambayo yana hatarisha hali ya kiusalama ni pamoja na Mazingira kwani katokana na Manzingira kuna migogoro mingi ambayo ipo katika Wafugaji na Wakulima pia migogoro ya Aridhi na maswala ya Misitu.

Pia amesema ili uweze kuimarisha hali ya Usalama lazima kuwepo na Polisi Kata ambaye anaweza kutembelea katika Shule mbalimbali kuwapa Elimu Watoto wa Kike ilikuweza kufahamu namna ya uepukana na vishawishi.

Hata hivyo amewataka kutengeneza program za mazingira ili kuweza kuepusha migongano ya kuhatarisha amani.


Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa