• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

KATA YA MWAMAPULI YAADHIMISHA SHEREHE YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.

Posted on: March 6th, 2023

Wanawake kata ya Mwamapuli Halmashauri ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele Mkoa wa katavi  wamefanya sherehe ya Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani leo tarehe 6 Mach 2023.


Sherehe hiyo ambayo kilele chake ni Tarehe 8 March ilianza  kusherekewa rasmi tarehe 1 mwezi machi ambapo wanawake wanasherekea takribani wiki nzima.


Kaimu Mkurugenzi mtendaji Bi  Toba Mwihanga ambaye  ni Afisa Elimu, Elimu  maalum amewataka wanawake kuwa vipaumbele katika kutetea watoto wakike na wakiume kwa  kuwapeleka shule badala ya kuozeshwa na kupelekwa kuchunga mifugo " niseme tu kwamba  sisi wanawake ndo wasemaji wa watoto wetu wewe mama ukinyamaza kusema hakuna atakaye mkomboa mwanao wanawake tuwapeleke watoto wetu shule anayestahili kuanza chekechea aanze pia kidato cha kwanza aanze kwa maana hao ndo Madaktari wa kesho msikatishe ndoto za watoto wapeni haki ya kusoma"


Aidha Diwani vitimaalum Mhe. Cellina Chacha akiwa katika sherehe hiyo amesema wanawake wamekuwabize nashughuli kuliko kufatilia maendeleo ya watoto kuanzia maisha ya nyumbani mpaka shuleni hali inayopelekea watoto wengi kuharibikiwa wakiwa na umri mdogo bila hata wazazi kujua.


" watoto wamekuwa wakifanyiwa ukatili wa aina nyingi ikiwemo kubakwa na kulawitiwa kutokana na wazazi kutokuwa makini na watoto halihizi ni mbaya na chafu"


Hivyo kila mwanamke achukue jukumu la lakuwa karibu na watoto kujua marafiki zake , kutambua aina ya michezo anayocheza mtoto akiwa na wenzake, na kutambua maendeleo yake ya shule .


Aidha amewataka wanawake kukaa na watoto wao wakike  kuongea nao kuwaeleza halihalisi ya maisha pasipokuwaficha ili kuweza kuwasaidia kufikia ndoto zao.


Mwisho.

Imetolewa na

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Halmashauri ya Mpimbwe.


Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa