• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

KIKAO CHA MAJUMUISHO YA ZIARA YA MH. MKUU WA WILAYA KWA NJIA YA MJADALA

Posted on: October 23rd, 2023

Kufatia ziara ya Mkuu wa Wilaya  ya Mlele  Mhe. Majid Mwanga  iliyo fanyika takribani wiki tatu kwa kutembelea na kukamilisha kata 9 ambazo ni  Kibaoni, Usevya, Ikuba, Mwamapuli, Chamalendi, Mbende, Majimoto , Mamba, na Kasansa na kukamilisha  vijiji vyote 31  vya Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe.

Kutokana na Ziara hiyo iliyoibua changamoto  mbalimbali zinazo wakabili wananchi ikiwemo suala la Chagulaga, matumizi mabaya ya Sungusungu,  kutokusoma Mapato na matumizi kwa wananchi, upatikanaji wa Maji na  Barabara kwa baadhi ya vijiji, na pamoja na migogoro ya Ardhi.

Mhe . Mkuu wa Wilaya amefanya Majumuisho ya Pamoja kwa njia ya Mjadala na watendaji wote wakiwemo Jeshi la polisi , Tarura, Ruwasa,  Tanesco,  Baraza la  Ardhi, Watendaji wa Kata na Vijiji pamoja na  Idara ya Elimu ngazi ya Kata na timu ya menejiment ya Halmashauri kwa kila mmoja kukumbushwa majukumu, vipaumbele ,  anayofanya katika eneo lake, na namna alivyo weza kushughulikia Kero zilizoibuliwqi wakati wa ziara.

Wakiwa katika Majumuisho hayo kila mmoja ameeleza namna ambavyo hutekeleza Majukumu yake.

Mkuu wa Wilaya amewataka  kuendelea kufanya kazi kwa bidii, uaminifu na ubunifu ili kuweza kuwapa huduma Bora wananchi  pia amewataka kufanya kazi kwa kutenda haki kwa Mtu yeyote unayemhudumia ilikuweza  kuendela kutumikia Taifa kwa  kikamilifu.

Baada ya kufanya mjadala huo viongozi hao wameshukuru kwa mjadala huo uliowafanya kila mmoja kujua na kukumbushwa namna gani anapaswa kufanya kazi na kutamani kuwa mijadala hiyo isiishie hapo badala yake iendelee.

Mjadala huo ulio ongozwa na  Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya  Mpimbwe Bi. Shamim Mwariko kwa kuwa na mjadala mzuri kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili October 12, 2025
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili wa Ajira za muda Katika Mfumo wa anwani za Makazi March 15, 2022
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • Mtihani wa Darasa la nne

    October 21, 2025
  • Shamrashamra za Wananchi wa Jimbo la Kavuu kujiandaa kumpokea Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    October 15, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili

    October 12, 2025
  • MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU HALMASHAULI YA WILAYA YA MPIMBWE

    September 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa