• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Maadhimisho ya Siku ya wanawake Duniani

Posted on: March 8th, 2022

Wanawake katika Halmashauri ya Mpimbwe wameungana na wanawake wengine Duniani kote Kuazimisha siku ya wanawake duniani , maadhimisho hayo yamefanyika katika kijiji cha majimoto  katika viwanja vya shule ya msingi majimoto .

 Maadhimisho hayo yamefanyika leo tarehe 08 machi  duniani kote  ambapo wanawake  katika halmshauri hii wametumia siku hii  kuzungumza mafanikio , changamoto zao ,  ikiwemo msawala ya ukatili wa kijinsia  ukosaji wa haki katika kumiliki Ardhi , na mambo mbalimbali. namna yakuzitatua changamoto  Yanayo wakabili.

Wanawake wengi hupigwa , hubakwa , hupata mimba za utotoni , huuwawa , hukeketwa ,  na kukataliwa katika mambo ya urthi  wa mali

 Wanawake  katika Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe  wametumia siku hii  kufundishana  namna ya kuepuka   na changamoto   kwa kusema  niwajibu wakila mwanamke kutimiza majukum yake  kwa kutambua haki zake zamsingi na zakisheria ilikuweza kuepukana na changamoto zinazo wakabili, pia kutokuwa tegemezi  bali kuchangamkia fulsa mbalimbali na kufanya shughuli za uzasiliamali , kilimo , kuchukua mkopa unao tolewa na Halmshauri  ilikuweza kuutumia katika shughuli za  uzalishaji mali  na siyo kumtegemea mwanume peke yake.

. Akizungumza Catherine Mashalla  Mkurungenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe ambaye ndiye mgeni rasmi katika maadhimisho  haya amesema  maswala ya  usawa wa kijinsia  yakianzia katika ngazi ya familia   hakuna kutakacho pelekea  wanawake  kuonekana kutokuwa sawa na mwanaume katika Nyanja mbalimbali katika jamii  .

Aidha ametumia nafasi hii kuwataka wanachi kutunza mazingira kwa kuepuka kuchoma misitu, kukata miti ovyo  hali inayo hatalisha maisha kwa kusababisha ukosefu wa mvua  za kutosha ,

Na Odetha Salum

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa