• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

MAKABIDHIANO YA OFISI YA WMA KWA UONGOZI MPYA YAFANYIKA RASMI

Posted on: January 25th, 2024

Serikali Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi imesimamamia utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu likitaka kufanyika makabidhiano kati ya uongozi wa zamani na uongozi mpya wa Jumuiya ya hifadhi ya wanyamapori ya Mpimbwe (WMA).

Kabla ya kutembelea mipaka ya Jumuiya ya hifadhi ya wanamapori ya Mpimbwe, Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Majid Mwanga akatoa wito kwa viongozi wapya kutoingiza siasa katika uhifadhi badala yake watangulize uzalendo.

Kisha, Mkuu wa wilaya aliyeambatana na kamati ya ulinzi na usalama akaongoza msafara kukagua mipaka ya WMA Mpimbwe, hiyo ikiwa ni oparesheni maalmu ya kupitia mipaka ya maeneo ya Umma na misitu iliyohifadhiwa.

Msafara ukiwa katika pori hilo, umekuta maeneo mengi yamevamiwa na shughuli za kibinadamu zikiendelea jambo lililomfanya mkuu wa wilaya kutoa maagizo kwa uongozi wa Jumuiya ya hifadhi ya wanyamapori ya Mpimbwe kufanya doria ili kuwabaini wavamizi na kuwaondoa.

Kwa upande wao mwenyekiti mpya wa jumuia hiyo, Domician Msakaile pamoja na Afisa Uhifadhi daraja la pili, Mollel ambaye msaidizi wa kitengo cha ulinzi hifadhi ya Taifa ya Katavi wameahidi kushirikiana ili kulinda maeneo hayo na hifadhi kwa ujumla.

Naye Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Mpimbwe, Shamim Mwariko amesema  halmashauri itaendelea kuwalea  na kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu  wa kuhifadhi misitu ili kuhakikisha jamii haiharibu eneo hilo la WMA

Jumuiya ya hifadhi ya wanyamapori ya Mpimbwe lilianzishwa na vijiji wanachama vitano mwaka 2006 na linaukubwa wa KM za mraba 667.95.

Pori hili ambalo lipo kwenye bonde la ufa, lina aina mbalimbali za wanyama kama vile tembo, samba,chui, duma, nyati, Twiga , Pundamilia na wengine.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa