• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

MFUMO WA FURSA NA VIKWAZO KWA MAENDELEO ULIOBORESHWA

Posted on: May 16th, 2023

Ushirikishwaji wa jamii katika kuibua Miradi mbalimbali ya Maendeleo umekuwa chachu ya kuifanya jamii kuwa sehemu ya miradi  inayotekelezwa na Serikali katika  nyanja tofauti tofauti  , kupitia mfumo wa  fursa  na vikwazo kwa maendeleo  ulio boreshwa O and OD utakao saidia kuimarisha ushiriki wa    jamii katika kuibua Miradi sasa unakwenda kutekelezwa .


akifungua mafunzo kwa wakuu wa Idara wa Halmashauri ya Mpimbwe katika ukumbi wa Halmashauri  Mkurugenzi Mtendaji Bi. Catherine Mashalla amesema Mfumo huu wa  O & OD Ni Mradi ulio kuwepo tangu awali ambapo umekuwa ukitekelezwa kwa  wananchi Kwakuibua Miradi kwa kusaidiana na Serikali .

 Amesema kupitia Mfumo huu   ulio boreshwa   wananchi wanapaswa kuibua Miradi mbalimbali  ambayo wataikamilisha kuanzia mwanzo hadi mwisho .


Pia amewataka wakuu wa ldara kuonesha ushirikiano wakati wa utekelezaji wa Miradi ambayo wananchi wa taiibua ilikuweza kuondoa vikwazo vinanyo wakabili .


leonard tulubusya ambaye ni mwezeshaji naye amewataka Wakuu wa idara kuhakikisha wanawapa Wananchi elimu ya kutosha katika kushughulikia  Swala la kuibua Miradi ilikuweza kujiongezea Fursa ambazo  zitasaidia kuibua Miradi ya Kimaendeleo



amesema sambamba na kuwepo kwa mfumo huo hapo awali zipo  changamoto zilizojitokeza wakati wa utekelezaji katika awamu  nyingine zilizopo amesema hapo awali wananchi walikuwa wakitegemea ukamilishaji wa Miradi unategemea Serikali lakini kwa mfumo huu unahitaji wananchi kukamilisha miradi.


Godswine kodimbaya Mnufaika wa Mafunzo hayo ameipongeza Serikali kwa kupunguza vikwazo vinavyo jitokeza katika  uibuaji na Utekelezaji wa  Miradi ambayo utasaidia katika kuikwamua jamii.


Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa