• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Miradi ya maendeleo ya Ajira ya muda mfupi itakayo wanufaisha walengwa wa TASAF

Posted on: April 25th, 2022

TASAF awamu  ya Tatu  imelenga  kuibua Miradi ya  maendeleo  itakayo toa  ajira ya muda mfumpi  kwa walengwa itakayo wasaidia kujiingizia kipato kupitia nguvu zao .

Akisoma taarifa mbele ya Mkurungenzi Mtendaji  Halmashauri ya  Wilaya ya  Mpimbwe  Mkoani Katavi  David Mziray  mwakilishi  wa Mkurungenzi  TASAF amesema Miradi itakayo ibuliwa itafanywa na kaya zenye watu wenye  uwezo  wa kufanya kazi kuanzia umri wa miaka  18 hadi 65

 David amesema Miradi hiyo inalenga kutoa ajira katika  kipindi cha hali, ambapo walengwa itawasaidia wasishawishike kuuza  rasilimali walizonazo  kwa ajili ya kupata fedha  , washiriki katika ujenzi wa miundombinu, waweze kupata kipato kitakacho wasaidia kuingiza ujira wa kaya na kupunguza umaskini 

Nae Mkurungenzi Mtendaji  Halmashauri ya Wilaya ya  Mpimbwe   Bi. Catherine Mashalla Ameipongeza serikali  kwa kuendelea kuboresha  namna ambavyo itawasaidia  wanufaika wa TASAF   badala ya  kupewa fedha  kama ilivyo kuwa awali badala  yake kufanya kazi zitakazo changia  kukuza maendeleo .

Miradi hiyo itaibuliwa na wananchi kupitia mkutano wa kijiji  utakao fanyika katika kijiji husika,  ambapo watalaam wa Tasafu  walio pata mafunzo  ya namna ya kuibua miradi hiyo   watasaidiana  na walengwa kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa kwa ufasaha.

Na Odetha Salum

Matangazo

  • Kuitwa kwenye Mafunzo ya Mfumo wa Anwani za Makazi NAPA March 28, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili wa Ajira za muda Katika Mfumo wa anwani za Makazi March 15, 2022
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • Pikipiki kurahisisha usafili kuwafikia wakulima kirahisi katika maeneo mbalimbali

    June 20, 2022
  • WAZAZI N A WALEZI MLINDE MTOTO ILIKUMUEPUSHA NA KUFANYIWA UKATILI

    June 16, 2022
  • Shilingi milioni 61,852,650 kukamilisha skimu ya umwagiliaji katika kijiji cha Kilida Kata ya Mamba halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

    May 26, 2022
  • kilimo cha umwagiliaji kitasaidia katika kuinua Uchumi wa Mkulima .

    May 10, 2022
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa