• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

MKOPO WA 10% YA MAPATO YA NDANI YA HALMASHAURI YA MPIMBWE UMELETA NEEMA KWA WANAKIKUNDI CHA NGUVU YA KAZI IKUBA

Posted on: September 20th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe inatekeleza utoaji wa  mikopo kwa  makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu ikwa ni dhamira ya serikali kuhakikisha kila Halmashauri inatoa mkopo wa 10% ya  mapato yake ya ndani

Wanakikundi wa kikundi cha  Nguvu ya Kazi katika kata ya Ikuba Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe walipokea Mkopo wa Tsh Million 15  kutoka katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe ambao umewawezesha  kununua mashine ya kukoboa na kusanga Mahindi , kununua kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa kituo chao cha kufanyia kazi   na kuingiza umeme kwa ajili ya kuanza kusaga Nafaka .

Wakiwa katika uzinduzi huo wamesema wameishukuru Serikali kwa kuweza kuwainua vijana kwa kuwapa mkopo utakao wasaidia wao kujiajiri , wamesema mashine hiyo itasaidia kujiingizia kipato  na kurahisisha huduma ya kusaga na kukoboa inapatikana kwa urahisi katika Kata ya Ikuba.

Godfrid Nkuba  ni Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii katika  Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe akiwa ndiye Mgeni rasmi katika sherehe hiyo ya uzinduzi wa  Mashine amesema Vijana wanapaswa kuiga mfano kwa Vijana wenzao  nasiyo kuoneana wivu usio wa kimaendeleo amesema kikundi hiki wanapaswa kutumia vizuri kifaa hiki  ili kuweza kupata manufaa makubwa kupitia mashine  hii .

 Pia amewaasa kuwa waangalifu wakati wanapokuwa wakitumia ili kisiweze kuharibika na kuwaletea matunda waliyokuwa wametegemea.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa