• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

Pikipiki kurahisisha usafili kuwafikia wakulima kirahisi katika maeneo mbalimbali

Posted on: June 20th, 2022

Mkurungenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe  BI. Catherine Mashalla amekabidhi pikipiki 9 kwa Maafisa Ugani   zilizo tolewa na Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania   chini ya Wizara ya Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika 

 Akikabidhi pikipiki hizo Catherine Mashalla Mkurungezi  Mtendaji  amesema pikipiki hizo zimetolewa na Serikali kwa lengo la kurahisisha   usafili kumfikia Mkulima  pindi anapohitajii ushauri wa kilimo

Amesema awali Maafisa Ugani walikuwa na chagamoto za kukosa usafili hali iliyokuwa ikipelekea Maafisa Ugani kuto wafikia wakulima kwa urahisi    hivyo wakulima kuchelewa kupata ushauri wa kitalaam hivyo katika msimu ujao wakulima  watanufaika  na mazao yataongezeka .

Aidha amewataka kutumia pikipiki hizi kwa kazi iliyo kusudiwa na siyo kufanya shuguli ambazo hazijakusudiwa au kuzigeuza kuwa bodaboda  

Awali akisoma Taarifa George Magile Afisa kilimo , umwagiliaji na ushirika  amesema  huduma za Ugani  hutolewa kwa njia  ya mashamba darasa ambapo  kila afisa ugani  huwa na shamba darasa moja kwaajiri ya wakulima kujifunza kwa nadhalia na vitendo .

Odetha kijika Afisa Ugani kijiji cha Usevya ameipongeza Serikali kwa Kwakutoa Pikipiki  zitakazo wawezesha kufika kwa wakulima hali iliyokuwa ikiwapashida namna yakuwafikia wakulima   katika maeneo ambayo haya fikiki kirahisi .

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa