• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

RC MRINDOKA ATATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHARA KATAVI.

Posted on: May 29th, 2023

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amemuagiza Katibu Tawala mkoa wa Katavi kufanya utambuzi wa madeni yote mapya na ya zamani ambayo Taasisi za Umma ndani ya mkoa huo zinadaiwa na wafanyabiashara ili waweze kulipwa fedha zao.


RC Mrindoko ametoa agizo hilo leo Mei 29, 2023 baada ya wafanyabiashara kuibua hoja ya mpango wa Serikali kuwalipa madeni yao, hoja iliyoibuka katika kikao cha kusikiliza kero za wafanyabiashara mkoani humo kilichoongozwa na Mkuu wa mkoa katika ukumbi wa madini wa Mpanda Social Hall uliopo mjini Mpanda.


Amesema kuelekea tarehe 26 Juni 2023 awe amepata ripoti ya madeni yote kutoka Ofisi ya mkoa na Taasisi zake, Ofisi za wilaya na Taasisi zake, Ofisi za Halmashauri na Taasisi zake ambazo wafanyabiashara wanadai.


Aidha, Mrindoko amesema mkoa umepokea takribani shilingi milioni 69 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya kulipa madeni yote.


Hata hivyo, amewataka wafanyabiashara wote wanaoidai Taasisi yoyote ya Umma mkoani humo kujitokeza katika kikao atakachokifanya tarehe 26 mwezi Juni 2023 wakiwa na vielelezo ili kumaliza mkanganyiko uliopo wa baadhi yao kutolipwa madeni yao muda mrefu.


Katika hatua nyingine, RC Mrindoko amewaagiza viongozi wote kuanzia ngazi ya juu hadi ngazi ya mtaa kuwa waadikllifu na kuyaheshimu makundi yote ya wafanyabiashara wala kusiwepo bughudha za aina yoyote kwani ni watu muhimu katika kulijenga Taifa.


Pia amewataka mamlaka ya Mapato (TRA) mkoa wa Katavi kuwa waaminifu kwa wafanyabiashara ikiwemo kutumia busara wakati wa kukusanya kodi badala ya kumpa vitisho na kumfungia biashara yake.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa