• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

SHILINGI MILIONI 460 IMEPUNGUZA UPUNGUFU WA MADARASA KWA SHULE ZA SEKONDARI MPIMBWE

Posted on: October 13th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Mlele  Mh. Filbarto Sanga amefanya kikao na Watendaji  wa Kata  Watendaji wa Vijiji, Wenyeviti wa vijiji, Walimu Wakuu wa shule ,na wakuu wa Idara  mbalimbali katika ukumbia wa shule ya Msingi Majimoto  katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe  Mkoani Katavi   13/10./2022.

 Akiwa katika kikao hicho  cha kuandaa  mpango mkakati wa ujenzi wa Madarasa amesema   Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha shalingi Milioni 460 kwa ajili ya Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa 23 ambavyo kila Darasa moja lita gharimu kiasi cha shililingi Milion 20 ikiwa ni maandalizi ya  Wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka 2023.

Mh Filbarto amesema Miradi inayoletwa na Serikali kuu  nivyema ikasimamiwa kiukamilifu ili kuweza  kukamilika kwa wakati  kwakuwa Madarasa hayo yatasaidia kuondoa  changamoto wa upungufu wa  Madarasa katika halmashauri ya Mpimbwe.

Licha ya kuondoa changamoto ya  upungufu Madarasa lakini Halmashauri ya  Wilaya ya Mpimwe inakabiliwa na chamgamoto ya Watoto kutembea umbali mrefu  kufika shuleni swala amabalo tayari lilikuwa limekwisha anza kufanyia ufumbuzi kwa kuanzisha ujenga  shule ya Sekondari Kabunde ambapo tayari Wananchi wamekwisha kuanza kuweka nguvu kazi na shule ya Sekondari Ikulwe inayojengwa katika kata ya majimoto.

Kutoka na fedha hizo zilizotelewa na Serikali Mh. Filbarto  Sanga ameonya vikali baadhi ya watumishi kuomba kiasi cha fedha kwa Mkandarasi au fundi anayepewa jukumu la kujenga Madarasa kabla ya kupewa kazi  jambo amabalo linasababisha fundi kushindwa kuwalipa wasaidizi wake kutokana na fundi kubaki na kiasi ambacho hakikidhi kuwalipa Nafundi wasaidizi.

Hivyo amewataka kuacha mara moja kwakuwa niswala ambalo lina tia aibu na  kuiaibisha Halmashauri.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa