• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

UDESO yazindua mradi wa Ninawajibika

Posted on: August 28th, 2024

 Asasi isiyo ya kiserikali UDESO (Usevya Development Society) iliyopo halmasahuri ya wilaya ya Mpimbwe mkoa wa Katavi, siku ya jumatano tarehe 28 Agosti 2024 imefanya wasilisho la mradi wa NINAWAJIBIKA. Walioshiriki katika kikao hicho cha uwasilishaji ni pamoja na Mkuu wa wilaya ya Mlele Mhe. Majid Mwanga, mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe Bi Shamim Mwariko na wadau mbalimbali.

 Akiongea mratibu wa UDESO Paul Jackob Masanja amesema mradi wa ninawajibika utatekelezwa Tanzania bara katika mikoa 15, ndani ya halmasahuri 15 na kila halmashauri mradi utafikia vijiji vitatu chini ya shirika linalofanya kazi katika halmasahuri hiyo ambapo kwa halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe mradi utafanyika kata ya Kibaoni katika vijiji vya Kibaoni, Ilalanguru na Mirumba

 Masanja ameongeza kuwa, imeonakana bado kuna udhaifu katika usimamizi wa fedha za umma, hivyo mradi umelenga kuwapa elimu wananchi na wadau mabalimbali wa maendeleo katika kujua mapato na matumizi ya fedha, kujua thamani ya miradi, kufahamu ubora wa miradi na gharama zilizotumika na kupata uwazi juu ya mikataba ya manunuzi.

Nae mkurugenzi mtendaji wa halmashuri ya wilaya ya Mpimbwe Bi Shamimu Mwariko amewapongeza UDESO kwa kuwa msatari wa mbele kuchangia maendeleo kwa kupititia miradi mbalimbali na kuwaahidi kwamba atashirikiana nao, pia aliwaasa kwamba ni vizuri kutoa taarifa mapema ili wapewe takwimu iliyoandaliwa kwa usahihi na kuhakikisha wanashirikisha watu wenye nia njema na serikali sio waliopo kwa ajili ya masalahi binafsi.

 Mkuu wa wilaya ya Mlele pia amewasihi UDESO wasiingize siasa katika taasisi yao bali watoe elimu nzuri kwa wananchi bila upendeleo na amewashauri kukitumia chombo cha habari cha halmashuri ya Mpimbwe, Mpimbwe fm radio ili kufikisha elimu kwa watu wengi kwa haraka bila kutumia gharama kubwa.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa