• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

UZINDUZI WAUGAWAJI WA VITABU VYA MIONGOZO KWA WADAU WA ELIMU

Posted on: September 12th, 2022

Mkuu wa Wilaya  ya  Mlele Mh. Filbato Sanga  amegawa vitabu  kwa wadau wa Elimu   na kutoa maelekezo  kwa wadau    katika Halmashauri  ya Wilaya ya Mpimbwe Mkoani Katavi.

Akiwa katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Usevya  amesema  vitabu hivyo vya aina tatu vitasaidia katika  kuboresha elimu  nakuweka misingi bora ya kuimarisha kiwango cha elimu katika nchi  ,vitabu hivyo ambavyo  ni Mwongozo wa  uteuzi Viongozi  Elimu katika Mamlaka za Serikali za Mitaa na Mikao ,Mkakati wa kuimarisha  Ufundishaji  na  ujifunzaji ngazi ya Elimumsingi, na Changamoto katika uboreshaji Elimu  Msingi na Sekondari(Nini kifanyike)

Amesama awali hapakuwa na mwongozo wa namna ya kuwateua walimu Wakuu wa shule  hali iliyokuwa ikipelekea kuwepo kwa  changamoto za namna wanavyo weza kuongoza  ikiwa walimu wakuu walikuwa wakiteuliwa pasipo kuwa na utaratibu wowote

Mh.Mkuu wa Wilaya amesema kupita miongozo hiyo  itasaidia mamlaka zinazohusika katika kuteua walimu wakuu wa shule kusimamia miongozo ambayo itaonesha sifa za kiongozi husika anayestahili kuongoza katika shule husika kwa shule ya msingi na sekondari, .

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Bi. Catherine Mashalla amesema Watoto wetu watapata Elimu inayohitajika hivyo niwajibu wakila  mdau kusimamia miongozo hiyo ambayo imetolewa na serikali .

 Baadhi ya wadau wa elimu  katika Halmashauri ya Mpimbwe wameishukuru serikali kwa kutoa miongozo itakayosaidia kuteu  viongozi mbalimbali  pia miongozo hiyo itasaidia kuongeza ufaulu kwa wanafunzi  kutokana na walimu kufundisha kwa kufuata miongozo jambo litakalo epusha  baadhi ya shule kufaulu  na Shule nyingine kufeli. 

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili October 12, 2025
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili wa Ajira za muda Katika Mfumo wa anwani za Makazi March 15, 2022
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • Mtihani wa Darasa la nne

    October 21, 2025
  • Shamrashamra za Wananchi wa Jimbo la Kavuu kujiandaa kumpokea Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    October 15, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili

    October 12, 2025
  • MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU HALMASHAULI YA WILAYA YA MPIMBWE

    September 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa