• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Anuani za watumishi |
Mpimbwe District Council
Mpimbwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi na Mali asili
      • Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kazi na zima Moto
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mazingira na usafi
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • ufugaji wa nyuki
      • TEHAMA na Habari
      • Ugavi na ununuzi
    • Sehemu
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Hatua
    • Taarifa
    • Sheria
      • sheria ndogo
    • Fomu ya Maombi
      • Mkataba
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Mpya
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Matukio
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyopangwa

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA ALIZISHWA NA UJENZI WA KITUO CHA AFYA NA VYUMBA 13 VYA MADARASA.

Posted on: December 14th, 2022

Waziri  Mkuu wa Jamhuri ya  Muungano wa  Tanzania  Mhe. Kassimu Majaliwa amefanya ukaguzi  wa  kituo cha Afya na Ujenzi  wa Vyumba vya Madarasa 13  katika shule ya Sekondari  Majimoto  Vilivyopo  Halmashauri  ya Wilaya ya Mpimbwe  Mkoa wa Katavi.

Akiwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Amesema Serikali ya Awamu ya sita  inalenga kuwatumikia wananchi  inaleta fedha kwa ajili ya  miradi ya maendeleo ya wananchi  hivyo haitavumilia kuona  Watumishi wakileta uzembe katika  kusimamia  miradi inayoendelea kwa ukamilifu  au kula fedha ambazo zinatolewa  kwa ajili ya  maendeleo.

Mhe. Kassim Majaliwa Waziri Mkuu  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa Watumishi wawe na utaratibu wa kutembelea wananchi katika vijiji ikiwa katika siku sita za Juma  sikutatu ziwe za kutembelea Wananchi.

 Waziri Mkuu amefurahishwa na kasi na usimmizi mzuri wa  ujenzi wa Mradi wa kituo cha Afya  Ikulwe na Ujenzi wa Vyumba vya madarasa 13  shule ya sekondari Majimoto ambao unaendelea  katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe.

Aidha amemuagiza Mkurungenzi  Mtendaji kuhakikisha vifaa vinakamilika katika kituo cha Afya  cha Ikulwe ili kituo hicho kianze kufanya kazi tarehe 27 /12/2022 ili wananchi waweze kupata huduma  kutokana  na kuikosa kwa muda mrefu .

Awali akisoma Taarifa ya kituo cha Afya Ikulwe Mkurungenzi Mtendaji Bi. Catherine Mashalla amesema kituo hiki cha Afya kitaweza kuhudumia idadi kubwa ya wananchi   katika Kata ya Majimoto na vitongoji vyake  ambapo itasaidia kupunguza    idadi ya msongamano wa wagonjwa katika zahanati na vifo vya wakina mama wajawazito .

Pia amesema ujenzi huu wa kituo cha Afya Ikulwe   kwa mujibu wa mkataba unatarajiwa kukamilika  ifikapo 20/2/2023 ikiwa umekamilisha Ujenzi wa  jengo la wangonjwa wanje, Ujenzi wa jengo la mama na mtoto, Ujenzi wajengo  la upasuaji, ujenzi wa jengo la maabala ,ujenzi  jengo la kufulia na vyoo vya nje 7 ambapo ujenzi huu utagalimu fedha kiasi cha shilingi Milioni 423,890,000.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA December 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 15, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi September 17, 2019
  • Tangazo la nafasi za Kazi za Muda April 21, 2020
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPIMBWE

    April 05, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA MPIMBWE AZINDUA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    February 12, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPIMBWE LAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA LISHE NA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura

    October 11, 2024
  • Angalia yote

Video

Vivutio Vya Watali katika Hifadhi ya Taifa Katavi
Video Zaidi

Kiungo cha Haraka

  • Chuo kikiku cha kilimo Sua cha tembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kwa ajili ya uanzishaji wa chuo cha kilimo Ndani ya Mkoa wa Katavi
  • Mpimbwe A Conservation and Development Project
  • Revenue collection dashboard for Katavi Region
  • Mkoa wa katavi

Kurasa za Karibu

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • OR-TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe- Usevya

    Sanduku la Posta: 245

    Telephone: 0625732265

    Mobile: 0625732265

    Barua Pepe: ded@mpimbwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe. Haki zote zimehifadhiwa